SERIKALI YAZITAKA HALMASHAURI KUANISHA MAENEO YA KIMKAKATI UJENZI WA VITUO VYA AFYA

Asila Twaha, OR – TAMISEMI Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha  upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi.Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  anayeshughulikia Afya Mhe.Dkt. Festo Dugange wakati akijibu maswali bungeni leo  kwa