SERIKALI YAZITAKA HALMASHAURI KUANISHA MAENEO YA KIMKAKATI UJENZI WA VITUO VYA AFYA
Asila Twaha, OR – TAMISEMI Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi.Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Mhe.Dkt. Festo Dugange wakati akijibu maswali bungeni leo kwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed